UWOYA ATOA KITUKO CHA MWAKA - HABARI ZA MPEKUZI BLOG, BOSS NGASSA, RAHATUPU BLOG AND BONGOCLANTZ
Headlines News :
Home » » UWOYA ATOA KITUKO CHA MWAKA

UWOYA ATOA KITUKO CHA MWAKA

                                                                  Irene Uwoya.
 Kituko hicho kilitokea katika Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar wakati Uwoya alipokuwa akiomba kura mbele ya wasanii wenzake.

Kauli yake hiyo iliwashangaza wengi kwa kuwa Uwoya ni mmoja kati ya wasanii wanaoongoza kwa kuandikwa kwa skendo.
“Hakuna asiyejua jinsi skendo zilivyonichafua, nilipogundua kuwa zinaniharibia maisha nikaachana nazo, sasa ole wao wote wenye tabia za aina hiyo, hakika watanitambua,” alisema na kuzua minong’ono.
Pamoja na minong’ono hiyo, Uwoya alifanikiwa kuwabwaga wapinzani wake Benny Kinyaiya na Lissa Aidan na kuchukua nafasi hiyo.
Nafasi ya Mwenyekiti ilikwenda kwa Vincent Kigosi ‘Ray’ ambaye hakuwa na mpinzani na Chick Mchoma ‘Chiki’ alichaguliwa kuwa Katibu.
Simon Mwapagata aliwashinda Juma Chikoka na Chuchu Hans katika nafasi ya katibu msaidizi.
Single Mtambalike ‘Richie’ hakuwa na mpinzani katika nafasi ya mweka hazina na Jacqueline Wolper Massawe alimbwaga Cathy Rupia katika nafasi ya mweka hazina msaidizi.
CREDIT GLOBAL PUBLISHERS
Share this article :

0 comments :

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Random Post

ARUSHA
 
Template Design by Creating Website Published by Mas Template