ANGALIA PICHA;MGANGA WA KIENYEJI AKAMWATA AKIJARIBU KUROGA NDANI YA MAHAMAKA YA HAKIMU MKAZI KISUTU LEO - HABARI ZA MPEKUZI BLOG, BOSS NGASSA, RAHATUPU BLOG AND BONGOCLANTZ
Headlines News :
Home » » ANGALIA PICHA;MGANGA WA KIENYEJI AKAMWATA AKIJARIBU KUROGA NDANI YA MAHAMAKA YA HAKIMU MKAZI KISUTU LEO

ANGALIA PICHA;MGANGA WA KIENYEJI AKAMWATA AKIJARIBU KUROGA NDANI YA MAHAMAKA YA HAKIMU MKAZI KISUTU LEO


MGANGA WA KIENYEJI HUYU HAPA PICHANI, RAJABU ZUBERI(30),MKAZI WA Kerege,Muheza Tanga, akiwa chini ya ulinzi wa wanausalama leo saa mbili asubuhi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, baada kifaa maalum cha upekezi kumnasa mganga huyo akiwa na vifaa hivyo vya uganga ambavyo alikuwa amekuja navyo mahakamani hapo kwaajili ya kufanyia mambo ya kishirikina katika kesi moja inayomkabili 
mmoja wa washtakiwa mahakamani hapo. Hongereni sana wanausalama kwa kazi nzuri ya kumnasa mtu huyo kwani mmesaidia kuvuruga azma yake.Picha kwa hisani ya Happy Katabazi
Share this article :

0 comments :

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Random Post

ARUSHA
 
Template Design by Creating Website Published by Mas Template