Mwanadada Enika alikuwepo na alifungua show ya Weusi kwa kuimba wimbo wa Tanzania Tanzani. 
Show ilianzishwa na Joh Makini kwa kuimba nyimbo zake kadhaa 
Akafuatia Bonta 
G-Nako & Nikki wa II walifuatia na kulitawala jukwaa 
 Lord Eyez alishangiliwa sawa baada ya kuonekana kwenye steji
CREDIT KWA DJ CHOKA
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments :
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !