
Video hizi hutolewa na big borther wenyewe kwa jamii kama sehemu ya shindano hilo....
Wahiriki wote wa big brother wanajua  
ya  kwamba jumba hilo limezingirwa na kamera kila kona.Kwa hiyo, kama 
mtu ataamua kufanya ufuska au kukaa uchi basi ajue kamera zitamrekodi na
 kumwanika hadharani....
Masharti hayo hujuzwa mapema kabla ya kuanza kwa shindano hilo...
Hakeem
Huyu ni mshiriki toka zimbabwe aliyepata bahati ya kuoga na dada yetu Feza ndani ya bafu moja 
Feza
 Huyu ni mshiriki toka Tanzania....Yuko ndani ya afu moja akioga na mshiriki  wa Zimbabwe.....
Dakika chache baada ya kila mmoja kuoga kivyake,Hakeem anaamua kumuomba Feza amsugue mgongoni....
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments :
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !