Home
                          
                          »
                          
                          » 
                          NIPASHE;BAADA YA KUMTUKANA WAZIRI MKUU,HATIMAYE SUGU AOMBA MSAMAHA 
 
NIPASHE;BAADA YA KUMTUKANA WAZIRI MKUU,HATIMAYE SUGU AOMBA MSAMAHA 
|  | 
| Mhe Sugu | 
|  | 
| Waziri Mkuu, Mhe. Pinda 
 BAADA
 ya kauli yake iliyoibua mjadala mkubwa nchini dhidi ya Waziri Mkuu, 
Mhe. Mizengo Pinda kufuatia majibu yake aliyoyatoa wiki iliyopita 
Bungeni kwa kutaka Polisi kuendelea kuwapiga raia, Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe Joseph Mbilinyi 'Sugu', aomba radhi.
 
 Sugu
 amemuomba radhi mhe Pinda na watanzania kwa ujumla kwa lugha aliyotumia
 katika kuonyesha hisia zake juu ya kauli aliyoitoa mhe Pinda bungeni.
 
 Kupitia
 akaunti yake ya Facebook, Mbunge huyo machachari amenukuliwa akiwaomba 
radhi Watanzania waliokerwa na kauli yake iliyodai kwamba Tanzania 
haijawahi kuwapata Waziri Mkuu kama Mhe. Pinda kwa kusema;
 
 "Ndugu
 watanzania, naombeni radhi kwa tusi nililolitoa kwa mhe Pinda, kwani 
nilikua nimeghafirika, halikuwa kusudio langu kumtukana mmoja wa 
viongozi wa nchi."
 | 
 
 
 
0 comments :
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !