Wema  ambaye umri wake bado  haujamtupa 
 , hivi  sasa  anakabiriwa na tatizo la  ngozi  kutokana  na michirizi  
kusambaa  mwili mzima  hasa  mapajani....
 Kamera  zetu  si  mara  ya  kwanza  
kumshuhudia  Mrembo  huyu  akizingirwa  na  uzee  kwani  miezi  kadhaa  
nyuma  tuliwahi andika  habari  inayofanana  na  hii  lakini  ikielezea 
 zaidi  michirizi  ya  mapajani....
Tofauti  na  hivyo, hivi 
 sasa  michirizi  hiyo   imekimbilia  kifuani  na  mabegani  hali  
inayoashiria  kwamba  siku  si  nyingi  itahamia  usoni...
"Ukweli  Wema 
 Sepetu  sasa  amebaki sura  tu,mwili  umemtupa  kabisa .Nadhani  hii  
yote  inatokana  na  matumizi  mabaya  ya  mikorogo"...alisema  shuhuda  mmoja  akimtazama  Wema sepetu  aliyekuwa  jaji  katika  shindano  moja  la  umiss  jijini  Dar

Baada  ya  kumsikia  shuhuda  huyo  
akimtoa  kasoro  mrembo  huyo, mwandishi  wetu  alitinga  nyumbani  kwa 
 Wema  Sepetu  kufanya  naye  mahojiano  juu  ya jambo  hili
Alipofika  nyumbani  hapo, mwandishi  
wetu  aligonga  geti  na  kufunguliwa  na  dada  mmoja  ambaye  alidai  
kuwa  maadam Wema  alikuwa  amelala  na  kwamba  hawezi  kuamshwa mpaka 
 aamke  
 
 



 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments :
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !