Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (Watatu kulia, waliobeba  jeneza) akishiriki kubeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa msanii wa  muziki wa kizazi kipya na filamu, Hussein Ramadhani maarufu kwa jina la  Sharo Milionea, alipokiwakilisha Chama Cha Mapinduzi, kwenye mazishi ya  msanii huyo, leo kwenye Kijiji cha  Lusanga, Muheza Tanga.
 Katibu  wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akitoa pole za Chama Cha  Mapinduzi (CCM) alipokiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye  mazishi ya aliyekuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya na filamu, Hussein  Ramadhani maarufu kwa jina la Sharo Milionea,leo kwenye Kijiji cha   Lusanga, Muheza Tanga
 Katibu  wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nauye, akitupa mchanga kaburini,  alipokiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye mazishi ya aliyekuwa  msanii wa muziki wa kizazi kipya na filamu, Hussein Ramadhani maarufu  kwa jina la Sharo Milionea,leo kwenye Kijiji cha  Lusanga, Muheza Tanga.
 Mkuu  wa wilaya ya Muheza, Subra Mgalu akisoma salam za Shirika la Fursa Sawa  kwa Wote (EOTF) la Mama  Anna Mkapa, kwenye msiba huo. Pamoja naye ni  Nape
 
 




 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments :
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !