Wote tunafahamu kuwa Martin Kadinda ni meneja wa Wema Sepetu na wamekuwa na ukaribu kwa kipindi kirefu.
Lakini hizi picha alizozipost Martin kupitia Instagram hivi karibuni akiwa na Wema huko Afrika Kusini zimeanza kuleta minong’ono.Je, ni wapenzi au marafiki tu??ukiziangalia hizi picha namaeezo yakeutagundua kitu....!!!
Katika picha hiyo juu Martin aliiandikia, “I Heart em moments… She is spoiling me in a way I can’t say thank you and be enough.”
CREDIT KWA MPEKUZI
0 comments :
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !