UDAKU WA MASTAA WA BONGO;PICHA WEMA SEPETU VS MARTIN KADINDA UTATA! - HABARI ZA MPEKUZI BLOG, BOSS NGASSA, RAHATUPU BLOG AND BONGOCLANTZ
Headlines News :
Home » » UDAKU WA MASTAA WA BONGO;PICHA WEMA SEPETU VS MARTIN KADINDA UTATA!

UDAKU WA MASTAA WA BONGO;PICHA WEMA SEPETU VS MARTIN KADINDA UTATA!

Katika picha hii Martin ameandika: Sisi ni washwiiiity.......... She always say that....



Wote tunafahamu kuwa Martin Kadinda ni meneja wa Wema Sepetu na wamekuwa na ukaribu kwa kipindi kirefu.

 Lakini hizi picha alizozipost Martin kupitia Instagram hivi karibuni akiwa na Wema huko Afrika Kusini zimeanza kuleta minong’ono.Je, ni wapenzi au  marafiki tu??ukiziangalia  hizi picha namaeezo  yakeutagundua kitu....!!!



Katika picha hiyo juu Martin aliiandikia, “I Heart em moments… She is spoiling me in a way I can’t say thank you and be enough.”

Katika picha hii Martin ameandika: Sisi ni washwiiiity.......... She always say that....Katika picha hii Martin ameandika: Sisi ni washwiiiity………. She always say that….
Hapa ameandika: #InstaTrueLove.... I loove this Gurl.... She is so pure and Ril...... Kila mtu anakasoro zake... Wema wake ni zaidi ya kasoro zake.... @wemasepetu love kimaria maria   4dHapa ameandika: #InstaTrueLove…. I loove this Gurl…. She is so pure and Ril…… Kila mtu anakasoro zake… Wema wake ni zaidi ya kasoro zake…. @wemasepetu love kimaria maria 4d
CREDIT KWA MPEKUZI
Share this article :

0 comments :

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Random Post

ARUSHA
 
Template Design by Creating Website Published by Mas Template